Balozi wa TZ hapa UK, Mh Mbelwa Kairuki (@MbelwaK) ajibu madai kwamba ubalozi huo unadaiwa sh bilioni 7.5 za maogesho, asema balozi zote hazipaswi kulipa kodi kwa mujibu wa Vienna Convention
Balozi wa Tanzania nchini Uingereza, Mheshimiwa Mbelwa Kairuki amejibu madai kuwa ubalozi huo unadaiwa shilingi bilioni 7.5 za maegesho jijini London.
Balozi Kairuki ameeleza yafuatayo
Jiji la London lilianzisha tozo ya maegesho (Congestion charge) kwa magari yanayoingia katikati ya jiji la London mwaka 2003.
Madai yaliyoorodheshwa kuhusu hilo linaloitwa …