Free Access: What's next baada ya Mahakama Kuu kusema Mbowe na wenzake wana kesi ya kujibu?
In less than 48 hours tangu Lissu akutane na Mama Samia, ndoto za "mwafaka" zinaelekea kufa kwa kasi baada ya uamuzi wa Jaji Tiganga kufuatia "mvua ya maneno makali" ya wana-CDM dhidi ya Mama Samia
ANGALIZO: Endapo makala hii “itakatikia njiani kwenye email yako” basi soma makala tovutini HAPA
Jana, Jaji Joachim Tiganga, alitoa uamuzi katika kesi inayomkabili Mwenyekiti wa Chadema Taifa, Freeman Mbowe na wenzake watatu, ambao kwa pamoja wanakabiliwa na mashtaka ya ugaidi na uhujumu wa uchumi.
Uamuzi huo uliokuwa ukisbiriwa kwa hamu ulihusu endapo M…