Twajua Magufuli Ni Dikteta Kamili. Tusichojua CDM, ACT Wana Mkakati Gani Kumng'oa
Kwa mara nyingine, jana Magufuli ameonyesha tena rangi yake halisi kuwa ni mtawala dikteta asiyeona aibu kukandamiza demokrasia na haki za binadamu.
Kwa upande mmoja, kiongozi mkuu wa ACT-Wazalendo Zitto Kabwe alikamatwa kwa “kosa la kufanya mkutano halali wa ndani wa chama hicho” huko Lindi.