Bashite amemdanganya Rais na Watanzania kuhusu "mawaziri wanaolipa watu ili mkuu wa nchi atukanwe mtandaoni", je Mama @SuluhuSamia ataendelea kumbeba Bashite?
Uchambuzi wa kiintelijensia: tuhuma za Bashite kuwa kuna mawaziri wanalipa watu wamtukane Mama Samia ni za kweli au porojo? Ni tuhuma zake kweli au katumwa? Mabadiliko kabineti ya Mama yanukia
CCM yawapitisha mabosi wa zamani wa kitengo Kipilimba, Diwani na Masoro kuwa warithi wa nafasi ya uenezi ya Bashite, pia wamo 'pacha wa Bashite' Nzowa na Sabaya kwenye unaibu
Exclusive: Bashite aanza uharamia wake, "amfanyizia" kiongozi mmoja wa kitaifa ambaye Jasusi alitanabaisha awali kuwa Bashite anawinda nafasi ya kiongozi huyo
Bashite achafua hewa CCM, amrushia kijembe JK, asema "sio utaratibu kwa wastaafu kila siku kuongeaongea", amwamuru Waziri Mkuu Majaliwa kumaliza kero za ardhi ndani ya miezi 6
Jasiri haachi asili: Bashite ni yuleyule, nyodo zake jana alipohutubia kwa mara ya kwanza ni ishara kuwa yajayo yanatisha, atakuwa hatari zaidi ya alivyokuwa zama za JPM